Friday, 22 April 2011

MI'WECI, MIOMO

Emo 'Ya M'mbondo  Community of WA inayo masikitiko yakutangaza kifo cha Nd.Saidi Madwi MAKELA kilichojitokeza  hapo jana kule  Washington CR. Nd. MAKELA ni mzaliwa wa Sangya (Mshimukuma) na aliishi miaka mingi pale Kambini Nyarugusu.
Mungu aiweke mahali pema Roho ya Marehemu Makela.
Tangazo imetolewa na 
Offisi ya Katibu Mkuu,
Emo 'ya M'mbondo WA.

No comments:

Post a Comment